17 Aug 2016

WALIMU TZ KUVULIWA VYEO SABABU YA WANAFUNZI HEWA, CHEKI HAPA.

Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya kinondoni

Mkuu wa wilaya ya kinondoni bwana Alli Hapi ameagiza walimu 68 wa shule za msingi na 22 wa shule za sekondari kuvuliwa vyeo kutokana nakubainika kuwa na wanafunzi hewa.
Mkuu wa wilaya amechukua hatua hiyo baada ya kubainika kuwepo kwa wanafunzi hewa 5000 katika manisipaa yake ambao wamekua wakipata ruzuku ya elimu bure.

Mkuu wa wilaya ya kinondoni bwana Alli Hapi

Chanzo: Mwananchi.com



0 comments:

Post a Comment