19 Aug 2016

MABASI YAENDAYO MIKOANI KUSIMAMISHA HUDUMA KUANZIA JUMATATU HII, CHEKI HABARI NZIMA.


Kuanzia jumatatu ijayo Tarh 22/08/2016, hakutakua na usafiri wa mabasi nchi nzima, hii imetokea baada ya wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani (TABOA) kuamua kusimamisha huduma hiyo ili mabasi hayo yakaguliwe.
Katibu mkuu wa TABOA, Enea Mrutu amesema zaidi ya mabasi 4000 yanayo hudumia safari za mikoani yatasimamisha huduma zake ili kukaguliwe lengo likiwa kupunguza ajali za barabarani na kwamba wametuma barua SUMATRA kuieleza kuhusu swala hilo.

Source: Mwananchi.com

0 comments:

Post a Comment