Wahumini wa Mungu huyo wakiwa wamekusanyika.
Wanamuita Jehova Wanyonyi, ni Mkenya, kiongozi wa madhehebu wa kundi linalojiita Waisraeli waliopotea, ambaye mapema mwaka huu alisema kuwa yeye ndiye Mungu.
Ambapo hivi karibuni Serikali ya Kenya
imesema kuwa alifariki miezi mitatu iliyopita na wafuasi wake kuzika maiti yake
mahali pasipo julikana. Hata hivyo wafuasi wake walisema kuwa Jehova Wanyonyi
bado yu hai na anaendelea kufanyiwa matibabu katika hospitali moja nchini
ingawa hawajui ni ipi.
Embu
mtizame katika video hapa chini...
Alafu bonyeza link hapo chini kusikiliza sauti ya yaliyojili baada ya muhandishi wa habari wa bbc Swahili kutembelea sehemu aliyokua akihishi uyo Jehova Wanyomi.
link>>>http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2015/10/151006_jehova-wanyonyi
Mungu Jehova Wanyomi katika pozi tofauti tofauti.
0 comments:
Post a Comment