26 Sept 2015

TAZAMA MATOKEO YA AWALI YA UTAFITI WA CHAMA KINACHO WEZA KUSHINDA UCHAGUZI WA RAISI MWAKA HUU.

Wakati Tanzania ikisubiri muda wa uchaguzi kufika ili kuweza kuchagua viongozi kulingana na vigezo sahii wanavyo vihitaji na wakati huohuo wagombea mbalimbali wakinadi sera zao, Taasisi ya Tanzania Development Initiative (TADIP) imetoa utafiti wake jana jioni.
Kulingana na utafiti huo ambao ulifanyika wiki 3 za mwanzo za mwezi wa 9, unasema kua wananchi waliojiandikisha kupiga kura wapatao 2040 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara walishiriki katika utafiti huo ambao ulifanywa kwa njia ya kuuliza swali la  "Nani utamchagua awe Raisi....?
Wanasema majibu ya wananchi walioulizwa ni kama ifuatavyo:
          Jina la mgombea         Chama                  Asilimia 
  • Edward Lowasa            CHADEMA           54.5%
  • John Magufuli               CCM                      40%
  • Hashim Rungwe            CHAUMA             0.4%
  • Chief Yemba                  ADC                      0.1%
na waliosema hawajui watamchagua yupi ni aslimia 3% 
Statistics ya matokeo juu ya utafiti huo.

0 comments:

Post a Comment