Logo za Simba na Yanga
Ofisa wa habari TFF, Baraka Kizunguto amesema kua shirikisho hilo halifungamani na upande wowote wa siasa, dini, kabila wala rangi hivyo halito sita kuchukua hatua kwa yeyote atakae onekana kujihusisha na maswala hayo na kuwashauli mashabiki kutokuja vitu vyovyote vinavyo hashilia siasa.
Pia TFF imetangaza wazi viingilio vya siku hiyo ya pambano ambapo mchanganuo nikama hifuatavywo hapa chini;
- Tiketi kwahajili ya jukwaa la VIP (A) ni Tsh 30,000/=
- Tiketi kwahajili ya jukwaa la VIP(B) ni Tsh 20,000/=
- Tiketi kwahajili ya jukwaa zilizo bakia kwa Tsh 7000/=
Uwanja wa Taifa ambamo pambano la Simba na Yanga linategemewa kufanyika.
0 comments:
Post a Comment