13 May 2016

DIAMOND NA MAFIKIZOLO WAFUNIKA VIBAYA UDOM, TAZAMA PICHA HAPA ILIVYOKUA.

Diamond na Mafikizolo wamefunika vibaya katika tamasha la Vodacom Kichuo Zaidi lililofanyiaka tarehe 12 mwezi huu katika viwanja vya chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kitivo cha elimu na kuhusisha vitivo vingine vya chuo hicho pamoja na vyuo vya jirani na wakazi wa Dodoma.
Hapa chini nimekuletea baadhi ya picha ya namna tamasha hilo la kukata na shoka lilivyokua.


Picha 1: Diamond Platinum akifanya yake


Picha 2: Mafikizolo wakitumbuiza

Picha 3: Mafikizolo 


Picha 4: Wanafunzi na washiriki wa tamasha hilo.


 Picha 5: Msanii maarufu wa kundi la Mafikizolo toka bondeni south.



0 comments:

Post a Comment