Fiesta 2016 imoo ilitikisa jiji la mwanza kwa kupambwa na wasanii wa kila aina ambao walitoa burudani za aina yake kwa wakazi wa jiji hilo, nimekukusanyia picha za namna shoo ilivyo bamba cheki hapa chini...

Wana Mwanza Mwanza wakiburudika kwa raha zao

Mdada Diana Nyange akifanya yake stejini

Wachezaji wa group la scorpion wakifanya yao

Mzee wa sophia sophia, Ben pol

Mtoto wa WCB, Raymond



Shishi beibi akijiandaa kufanya yake
WizKid toka Nigeria nae alikuepo
0 comments:
Post a Comment